Je, wafahamu Makosa yanayofanya na Wazungumzaji wa Kiswahili?
MAR 19
Description Community
About

Ungana na Mtangazaji wako Tekla Revoctaus,  katika kipindi cha Elimu Jamii Leo tupo na Msanifu Lugha Kusanja Emmanuel Kusanja, kutoka Baraza la Kiswahili Taifa  [BAKITA] akizungumzia Makosa yanayofanya mara kwa mara na wazungumzaji wa Kiswahili.


L'articolo Je, wafahamu Makosa yanayofanya na Wazungumzaji wa Kiswahili? proviene da Radio Maria.

Comments