Fahamu Utaratibu wa Masomo ya Misa katika kipindi cha kawaida cha Mwaka -Sehemu ya Nne
MAR 18
Description Community
About

Karibu Ungane nami  Mtangazaji wako Tekla Revocatus katika kipindi cha Ijue Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania  Mwezeshaji wetu Padri  Dkt.Clement Kihiyo, Katibu Mtendaji idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Tanzania [TEC] ikiwa ni  muendelezo wa mada  Utaratibu wa Masomo ya Misa katika kipindi cha kawaida katika Mwaka. 


L'articolo Fahamu Utaratibu wa Masomo ya Misa katika kipindi cha kawaida cha Mwaka -Sehemu ya Nne proviene da Radio Maria.

Comments